Friday, May 28, 2010

PETER MUKABI: Matiti Yenye Uzito wa Kilo 12 Yamlaza Kitandani

PETER MUKABI: Matiti Yenye Uzito wa Kilo 12 Yamlaza Kitandani

Wednesday, May 26, 2010

Elton John asababisha utata Morocco



Mwanamuziki wa Uingereza Elton John anatarajiwa kuwepo katika tamasha nchini Morocco licha ya kuwepo wito wa kuzuiwa.
Wapiganaji wa kiislamu wamejaribu kuzuia mwaliko wake huo, wakidai kuwa mwanamuziki huyo aliyeweka wazi kuwa anafanya mapenzi ya jinsia moja anaenda kinyume na maadili ya umma.
Lakini waratibu wa tamasha la Mawazine huko Rabat wametetea uamuzi wa kumwalika John, kwa madai ya "kustahamiliana kimaadili".

Elton John
Wiki iliyopita, tamasha lililopangwa kufanywa huko Misri liliahirishwa baada ya John kusema katika mahojiano ya jarida moja kuwa Yesu alikuwa anafuata mapenzi ya jinsia moja.
Mkurugenzi wa sanaa wa tamasaha la Mawazine Azizi Daki ameiambia BBC kuwa wanatarajia umati mkubwa kujitokeza kwenye oneysho lake.
Amesema, " Kawaida umati mkubwa ni takriban watu 40,000."
" Usiku wa leo tunatarajia takriban watu 60,000 kuja kumwona Elton John."
Bw Daki amesema hii ni mara ya kwanza kwa John kufanya onyesho Morocco na ana umaarufu sana nchini humo.
Amesema, " Kipaji chake kimekuwa cha kuridhisha sana, anawafanya raia wa Morocco wawe na matumaini na kila mmoja anajua nyimbo zake."
Wasanii maarufu
Lakini mapema mwezi huu, chama cha Islamist Justice and Development (PJD) lilipinga onyesho hilo la John.
Mwanachama wa PJD Mustapha Ramid amesema: " Tuliiomba serikali kutomhusisha mtu huyo katika orodha ya wasanii walioalikwa kwenye tamasaha hilo."
"Mwanamme huyu-samahani, bora niseme mtu huyu, na si mwanamme huyu- anajulikana kwa kujisifu kwa kufuata mapenzi ya jinsia moja."
Bw Ramid amesema, "Morocco ni taifa la kiislamu ambapo jukwaa halitakiwi kumruhusu mtu mwenye kiwango hicho cha ufisadi kufanya onyesho kwasababu inabidi tuwanusuru watoto na mambo kama hayo."
Tamasha la Mawazine la siku tisa huhusisha wasanii kutoka duniani kote, wakiwemo Sting, Carlos Santana, Julio Iglesias, Toumani Diabate na Alpha Blondy.
Makundi ya kiislamu yamekuwa yakikosoa tamasha hizo kwa kushinikiza ufisadi na kuharibu maadili ya kiislamu.
Mwezi Februari, John aliliambia jarida la America's Parade: " Nafikiri Yesu alikuwa mtu mwenye imani, mtu hodari sana mwenye kufuata mapenzi ya jinsia moja aliyeelewa matatizo ya mwanadamu."
Kauli hii ndio ilisababisha tamasha lake lililokuwa lifanyike Mei 18 kuzuiwa.

Thursday, May 20, 2010

Omar resigns as KNCHR deputy



Kenya National Commission on Human Rights vice chairman Hassan Omar resigned May 20, 2010.
Mr Omar says he will continue serving the rights body as commissioner.
The Kenya National Commission on Human Rights vice chairman Hassan Omar has resigned.
He will, however, continue serving the rights body as commissioner.
Mr Omar said the vice chairman's role is largely administrative and he wanted to free himself so as to serve Kenyans in a wider capacity.
"I have held wide consultations with people in the human rights community and my family and resolved not to allow any kind of obstruction to block me from carrying out my duty as a human rights campaigner," Mr Omar said.
The KNCHR has been embroiled in wrangles pitting chairperson Florence Simbiri- Jaoko and Mr Omar centred on an alleged leak of vital witness protection information by a commissioner.
The witness is believed to be among those who have come forward to give their accounts on Kenya's post election violence that followed a disputed election in 2007.
Alleged leaks
A section of the commission led by Ms Jaoko wants disciplinary action to be taken against Mr Omar for speaking to the press about alleged leaks of witness information.
However, Mr Omar allayed fears of divisions between him and the vice chairperson.
He said he had nothing against Ms Simbiri-Jaoko only that they "disagree as professions but have a common cause".
Mr Omar described the KNCHR chairperson as "open minded" saying that he enjoyed working with her.
But, he said his differences with the other commissioners were "fundamental and irreconcilable".
The KNCHR released a report: On the brink of a precipice: A human rights account of Kenya's 2007 post election violence in which it linked 219 suspects to the chaos that left 1,133 people dead and a further 650,000 uprooted from their homes.

Wednesday, May 19, 2010

DID YOU KNOW?



The size of the sun in comparison


It is the fire of life. It can be kind but it can get angry. But it never throws its weight around. It is the sun. And although it is 330,000 more massive than earth and contains 99.8% of the mass in our solar system, it is small in comparison with some other stars.

The sun never cease to amaze us with its theatrics, its lava flares dancing across its surface in a ballet of nuclear fusion, sometimes leaping millions of miles into the air. And although the sun is big, its intense heat and light makes it difficult to capture good images with normal instruments. So NASA scientists use an Helioseismic and Magnetic Imager and an Atmospheric Imaging Assembly detector to view the ultra-violet (UV) and extreme ultra-violet lithography (EUV) wavelengths released by the sun. The resulting images are spectacular.


Earth in comparison to the sun

Earth’s distance from the sun varies between 91.4 million miles – in January – and 94.4 million miles – in July. The average distance of 92,955,887.6 miles (149, 597, 870.7 kilometers) is called 1 astronomical unit (AU), a measurement that is used to report distances to other planets and stars as well. In short, it’s not a weekend drive.

NASA puts the size of earth to the sun in perspective like this: Suppose the radius of Earth were the width of an ordinary paper clip. The radius of the sun would be roughly the height of a desk, and the sun would be about 100 paces from earth.

Bibi wa miaka 92 ana mimba ya tangia mwaka 1948 mpaka leo


Huang Yijun hivi sasa akiwa na umri wa miaka 92 alienda hospitali baada ya kusumbuliwa na maumivu ya tumbo ndipo tatizo lake lilipowaacha madaktari midomo wazi.

Daktari aliyemfanyia uchunguzi bibi huyo alipigwa na butwaa baada kugundua kuwa bibi huyo mwenye umri wa miaka 92 alikuwa ana mimba.

Huang alizidi kumpagawisha daktari huyo baada ya kutoa maelezo ya mimba hiyo.

Huang alisema kuwa mwaka 1948 alipokuwa na ujauzito mtoto wake alifia tumboni. Baada ya kutakiwa atoe dola 150 na hospitali aliyopelekwa ili kukitoa kiumbe hicho tumboni, Huang alikataa kutoa kiasi hicho cha fedha na kuamua kurudi nyumbani kwake.

Kwa kupuuzia kutoa kiumbe hicho alichokuwa nacho tumboni Huang alinyamaza kimya bila kuwaambia ndugu zake kwa miaka yote hiyo.

Ukweli wa mambo umekuja kujulikana baada ya miaka 60 baada ya bibi huyo kuzidiwa na maumivu makali ya tumbo.

"Katika miaka yangu 40 ya udaktari wangu sijawahi kukutana na jambo kama hili, kiumbe kilicho tumboni inabidi kiondolewe haraka iwezekanavyo, kwa muda wote huo Huang kuwa hai pia n

Blogger Buzz: Blogger integrates with Amazon Associates

Blogger Buzz:PETER MUKABI
You can view my posts by the help of this link which will hell you know about your health and wanders of the world.

Aliyeiba Mtoto Toka Kwenye Mimba ya Mwenzake Afungwa Maisha


Mwanamke wa nchini Marekani ambaye alikuwa na shauku ya muda mrefu ya kuwa na mtoto, amehukumiwa kwenda jela maisha baada ya kuiba kichanga toka kwenye tumbo la mwanamke mjamzito.

Andrea Curry-Demus, 40, alipatikana na hatia ya kumuua mwanamke mjamzito Kia Johnson, 18 baada ya kulipasua tumbo lake na kisha kuiba kichanga kilichokuwa tumboni mwake na kujifanya yeye ndiye aliyejifungua kichanga hicho.

Curry-Demus akisomewa hukumu yake aliigeukia familia ya Kia na kuwaambia "Naomba mnisamehe".

"Naiomba radhi familia yake", alisema Curry-Demus kabla ya kumgeukia jaji na kusema "Nimekosa".

Mama yake Kia, Darlene Lee, aliridhishwa na hukumu iliyotolewa ya kifungo cha maisha jela akisema kuwa hakutaka Curry-Demus ahukumiwe adhabu ya kifo kwakuwa anataka ateseke kwa uovu alioufanya.

"Nataka ateseke na aione sura ya mwanangu kila siku anapoamka, afikirie kitendo alichofanya".

Hili si tukio la kwanza la Curry-Demus kujaribu kuiba kichanga toka kwenye tumbo la mwanamke mjamzito, miaka 20 iliyopita, Curry-Demus alihukumiwa kwenda jela miaka 10 baada ya kumchoma na kisu tumboni mwanamke mjamzito akiwa
na nia ya kulipasua tumbo lake na kuiba kichanga chake.

Katika tukio la hivi karibuni Curry-Demus aliiongopea familia yake kuwa yeye ni mjamzito baada ya kumlaghai Kia na kujifanya rafiki yake.

Alikuwa akitamba kwa marafiki zake kuwa yeye ni mjamzito akiwaonyesha picha ya Ultrasound aliyoiiba toka kwa Kia na kisha kuibandika jina lake.

Baada ya kutimiza azma yake ya kuiba kichanga cha Kia, aliiambia familia yake kuwa amejifungua mtoto kabla ya muda wake ingawa vipimo vya hospitali havikuonyesha kama aliwahi kuwa mjamzito.

Alitiwa mbaroni baada ya maiti ya Kia kugundulika nyumbani kwake baada ya majirani kulalamikia harufu kali toka nyumbani kwake.

Kichanga alichokiiba kilinusurika maisha yake na kiliwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.


Matiti Yenye Uzito wa Kilo 12 Yamlaza Kitandani


Julia Manihuari [29] mama wa watoto wanne wa nchini Peru alisumbuliwa na ugonjwa wa ajabu ambao uliyafanya matiti yake yawe makubwa sana na kufikia ukubwa wa saizi N.

Matiti yake yalikuwa na uzito wa kilo 12 hali iliyomfanya ashindwe kuendelea na shughuli zake za kila siku na kutumia muda mwingi kitandani.

Julia alianza kuona mabadiliko kwenye matiti yake baada ya kujifungua mtoto wake wa tatu miaka saba iliyopita. Matiti yake yalizidi kuwa makubwa siku hadi siku.

Alipojifungua mtoto wa nne, matiti yake yalizidi kuwa makubwa zaidi, titi la kushoto lilikuwa na uzito wa kilo tano wakati la kulia lilikuwa na uzito wa kilo saba.

Wakati alipokuwa akisimama matiti yake yalikuwa yakimzidia uzito na alipokuwa akilala uzito wa matiti yake kifuani ulimfanya apumue kwa tabu.

Kwa miaka kadhaa Julia aliendelea kuteseka na hali hiyo kwakuwa yeye na mumewe ni wakulima maskini na hawakuwa na uwezo wa kulipia gharama za matibabu.

Julia hatimaye alifanikiwa kupata tiba mwaka huu baada ya wafadhili kujitokeza baada ya habari kuhusiana na mateso yake zilipotolewa kwenye magazeti.

Madaktari nchini Peru walifanikiwa kuyafanyia operesheni matiti yake na kuyapunguza kufikia ukubwa wa saizi B.

Julia hivi anaishi maisha ya furaha baada ya kuondokewa na uzito wa matiti yake uliomtesa kwa miaka mingi sana.


Saturday, May 15, 2010

'Sigara Zimeniua'


Mzee Albert aliyefariki mwishoni mwa mwezi uliopita akiwa na umri wa miaka 85, aliacha wosia kuwa atakapofariki kaburi na jeneza lake liwekewe maneno hayo ili kuwaonya vijana wasije wakapoteza maisha yao kama alivyopoteza ya kwake kutokana na magonjwa yaliyotokana na uvutaji sigara.Mzee Albert aliteseka miaka mingi sana kutokana na matatizo ya mapafu, ugonjwa uliotokana na uvutaji wake uliokithiri wa sigara enzi za ujana wake.Bango lilitengenezwa na kuwekewa maandishi ya 'Sigara Zimeniua' kabla ya jeneza lake kuzungushwa kwenye mitaa kadhaa ya mji wa Dover uliopo kilomita 160 toka jijini London.Kwenye kaburi lake nako kuliwekewa bango kama hilo ambalo inasemekana litakaa hapo kwa muda wa wiki moja.Mzee Albert kabla ya kufariki alikuwa akiwausia vijana kuhusiana na madhara yanayotokana na uvutaji wa sigara.